Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa maandamano 2024 na uchaguzi 2017 kuwasilisha malalamishi KNCHR kufikia Aprili 3

  • | Citizen TV
    733 views
    Duration: 2:41
    Familia za waathiriwa pamoja na manusura wa maandamano ya mwaka 2024 na ghasia za uchaguzi wa mwaka 2017 wana hadi tarehe tatu mwezi Aprili kuwasilisha malalamishi na ushahidi wa udhulma kwa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (KNCHR). Ripoti hizo zitatumika kubaini watakaofidiwa