Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa maandamano bado wanaumia miezi miwili baadaye

  • | Citizen TV
    704 views
    Duration: 2:50
    Baadhi ya vijana walioathirika na maandamano wameendelea kuuguza majeraha, miezi miwili baada ya maandamano ya juni 25. Vijana hawa sasa wakisema wanakosa mbinu za kujikimu baada ya risasi walivyofyatuliwa wakati huo kusimamisha kabisa shughuli zao