Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa maandamano ya Mswada wa Fedha 2024 wataka fidia kulipwa haraka

  • | Citizen TV
    91 views
    Kundi la waathiriwa wa maandamano dhidi ya mswada wa fedha wa mwaka 2024 wametaka serikali kutoa pesa za fidia upesi kama alivyoahidi rais william ruto. Wakizungumza katika afisi za Amnesty International hapa jijini Nairobi, waathiriwa hao wanataka ufafanuzi kutoka kwa serikali kuhusu jopo la ushauri kuhusu mchakato wa kuwalipa fidia, wakisema kuwa hawajapata mawasiliano yoyote kuhusu fidia yao.