Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa musoso huko Murang'a wataka fidia

  • | Citizen TV
    127 views
    Duration: 1:58
    Kwa muda wa mwaka mmoja na nusu uliopita, familia ishirini na moja kutoka kijiji cha Musoso katika eneo bunge la Kangema zimekuwa zikiishi katika kambi ya muda baada ya ardhi yao kutangazwa kuwa hatari