- 12,243 views
Wabunge takriban 30 kutoka chama cha Jubilee wamekata kauli kushirikiana na rais William Ruto, wakisema haya baada ya kujumuika naye katika ikulu ya rais. Viongozi hao walisema ni wakati mwafaka kuweka kando tofauti za kisisasa na kushirikiana ili kufanikisha ahadi walizotoa kwa wakenya. Rais William Ruto akiwakaribisha aliomba ushiriakiano wao bungeni haswa wakati miswada inayolenga ajenda za serikali zitakapowasilishwa. Wabunge hao waliongozwa na mbunge wa Balambala Omar Shurie, mwenzake wa Eldas Adan Keynan na mwakilishi wa kike wa kaunti ya Isiolo Fatuma Dullo ambao walirai rais kuwasaidia kukabiliana na janga la baa la njaa.
Wabunge 30 kutoka chama cha Jubilee wakubali kushirikiana na rais William Ruto
- - Duniani Leo ››
- 2 Aug 2025 - The potato is one of the world's food staples, first cultivated thousands of years ago in the Andes region of South America before spreading globally from the 16th century. But despite its importance to humankind, the evolutionary origins of the potato…
- 2 Aug 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo held the first meeting of a joint oversight committee on Thursday, taking a step toward implementing a peace deal agreed last month in Washington even as other commitments are yet to be fulfilled.
- 2 Aug 2025 - Some people online have compared the face wrap to something from the dystopian world of The Handmaid's Tale
- 2 Aug 2025 - The former Defence CS alleged that there were behind-the-scenes manoeuvres by some within the party to orchestrate a possible coup.
- 2 Aug 2025 - MC Fullstop had spent over three decades in the media and entertainment industry.
- 2 Aug 2025 - Two jihadist attacks in northeastern Burkina Faso early this week killed "several dozen" soldiers and civilians, two security sources and a local source told AFP on Friday.
- 2 Aug 2025 - The crash happened on Friday night.
- 2 Aug 2025 - Outrage over unexplained salary deductions following contested collective bargaining agreement.
- 2 Aug 2025 - The Tribunal further directed Keville to withdraw a YouTube takedown notice issued against Matata’s song within 48 hours, failing which YouTube must reinstate the video “in the Claimants’ favour.”
- 2 Aug 2025 - In a moment of pure drama, the journalist stepped forward and landed a hot slap on the MP’s cheek.