- 23 views
Tofauti za kisiasa zimekuwa dhahiri katika bunge la kaunti ya Meru huku wabunge wa bunge la kaunti hiyo wakijiandaa kujadiliana kuhusu hoja tata inayolenga kumng'atua gavana Kawira Mwangaza mamlakani kwa mara ya pili chini ya kipindi cha mwaka mmoja baada ya kuponea chupuchupu kung'atuliwa Disemba ya mwaka jana;;;;;;NATS;;;;Bunge la kaunti liliwashirikisha wananchi katika shughuli hiyo ili watoe maoni yao kuhusiana na hatima ya kiongozi huyo;;;;;NATS;;;;Jumatatu asubuhi wakazi walitoa maoni yao katika shughuli iliyotekelezwa katika kaunti ndogo tisa;;;;;NATS;;;;Shughuli hiyo iliungwa mkono na vilevile ikapingwa na wengine;;;;;UPS;;;Katika uwanja wa maonesho wa Meru, tofauti za wanamaoni ziliibua vita vya maneno;;;;;NATS (Residents fighting);;;;;;Hoja hiyo ya kumng'atua mamlakani iliwasilishwa na kiongozi wa walio wengi katika bunge hilo la kaunti Evans Mawira, aliyesema kuna makosa saba miongoni mwayo kutoshirikisha bunge hilo la kaunti kuhusu uteuzi wa maafisa, kuipa barabara jina la mumewe na kukosa kutii maagizo ya kufika mbele wa wabunge hao;;;;;;CUTS;;;;Wabunge hao wa kaunti watajadiliana kuhusu hoja ya kumng'atua mamlakani Jumatano wiki ijayo baada ya kukamilishwa kwa shughuli ya kuushirikisha umma kutoa maoni kwa mujibu wa sheria.
KBC Channel 1 brings you the Mashujaa Day 2023 celebrations held in Kericho County. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wabunge wa Meru kujiandaa kumng'atua Gavana Kawira Mwangaza
- 5 May 2024 - Ahead of the University of Michigan's commencement on Saturday, the school has trained staff volunteers on how to mitigate disruptions: a change from the usual duties of guiding guests around campus and showing them to their seats.
- 5 May 2024 - Hamas negotiators began intensified talks on Saturday on a possible Gaza truce that would see a halt to the fighting and the return to Israel of some hostages, a Hamas official told Reuters, with the CIA director already present in Cairo for the indirect…
- 5 May 2024 - Russia launched an overnight drone attack on Ukraine's Kharkiv and Dnipro regions, injuring at least six people and hitting critical infrastructure, commercial and residential buildings, regional officials said on Saturday.
- 5 May 2024 - At least 42 deaths have been recorded from a measles outbreak in just over a week in Nigeria's northeastern state of Adamawa, the state's health commissioner said on Friday.
- 5 May 2024 - German company HyImpulse successfully launched on Friday a candle wax-powered rocket capable of carrying commercial satellites on a test suborbital flight into space for the first time.
- 5 May 2024 - The death toll from rains in Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul rose to 56, local authorities said on Saturday morning, while dozens still have not been accounted for.
- 5 May 2024 - The World Meteorological Organization warns that Tropical Cyclone Hidaya, which is projected to make landfall in Tanzania and Kenya this weekend, threatens to worsen the humanitarian crisis triggered by torrential rains in these and other heavily flooded…
- 5 May 2024 - Ministry issues cholera alert amid floods, medics' strike
- 5 May 2024 - More families out in the cold amid fears flood crisis is getting worse
- 5 May 2024 - Ruto pushes House to entrench CDF in law