- 10 views
Katibu katika wizara ya Uhamiaji, Prof Julius Bitok sasa analitaka bunge kuongeza mgao wa fedha kwa idara ya kushughulikia masuala ya wakimbizi ili kuwezesha kubuniwa kwa mfumo wa kunakili takwimu za wakimbizi. Alipofika mbele ya kamati ya bunge la kitaifa kuhusu ustawi wa kimaeneo, Bitok alisema takwimu hizo zinahitajika kabla ya utekelezaji wa mpango wa Shirika wa kuwajumuisha wakimbizi katika jamii zinazowahifadhi. Kwa sasa, tume ya Umoja wa Mataifa ya kushughulikia wakimbiz-UNHCR ina hifadhi ya takwimu zote kuhusu wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi humu nchini.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wabunge wamhoji katibu Bitok kuhusu wakimbizi
- 21 Jun 2025 - Friday, June 20, marked World Refugee Day. The occasion sought to celebrate and honour refugees from around the world, and draw attention to both their life struggles and successes.
- 21 Jun 2025 - Police officers in Garissa have arrested four suspects and rescued two children who were reportedly abducted while on their way to Islamic lessons.
- 21 Jun 2025 - President William Ruto has delivered a strong message to his critics, while at the same time calling for national unity and defending his administration's work.
- 21 Jun 2025 - The President, who was flanked by Deputy President Kithure Kindiki, pointed out that those engaging in propaganda will not derail his development agenda, saying those who had no plans were free to engage in rhetoric. The post No amount of threats,…
- 21 Jun 2025 - Linda Jamii Package under SHA took over from Linda Mama which was under the defunct NHIF.
- 21 Jun 2025 - The policy aims to streamline human resource management within the Ministry of Defence.
- 21 Jun 2025 - Jonah Kariuki, father of Boniface Kariuki who was shot at close range by a police officer during Tuesday's demonstrations in Nairobi, has revealed how he was conned Ksh.200,000 by scammers who promised to settle his son's hospital bill.
- 21 Jun 2025 - Gachagua has since accused the government of sending the goons to disrupt his rally.
- 21 Jun 2025 - Nullified sections threatened to undermine the independence of public benefit organizations.
- 21 Jun 2025 - Kenya Saturday joined other African nations in marking the 2025 edition of Africa Public Service Day (APSD), taking place in Addis Ababa, Ethiopia. This year’s event is themed: “Enhancing the Agility and Resilience of Public Institutions to Achieve…