Skip to main content
Skip to main content

Wachezaji watatu wa Kenya warudi kutoka Lebanon baada ya ligi kusitishwa

  • | Citizen TV
    769 views
    Duration: 3:07
    Mgogoro unaoendelea mashariki ya kati umeathiri shughuli mbalimbali ikiwemo michezo ambayo pia imesitishwa kwa sasa. Mwanaspoti wetu luqman Mahmoud amekutana na wachezaji wa Kenya wanaochezea klabu ya Nejmeh fc ya Lebanon ambao wamerudi nchini huku pia wakiomboleza kumpoteza kocha wao engin Firat aliyewahi kuifunza Harambee stars.