Skip to main content
Skip to main content

Wachimbaji madini wadogo wahimizwa kujiunga na mashirika

  • | Citizen TV
    197 views
    Duration: 1:26
    Muungano wa wachimbaji madini wadogo nchini (ASMAK) ukiongozwa na mwenyekiti wao Ahmed Salah, umewataka wachimbaji wadogo kote nchini kuunda vyama vya ushirika vya kikanda.