Skip to main content
Skip to main content

Wachimbaji migodi wachimbiwa kisima huko Osiri Migori

  • | Citizen TV
    130 views
    Duration: 1:30
    Wakaazi wa Osiri, eneo bunge la Nyatike kaunti ya Migori wanaelezea matumaini yao mpango mpya wa uchimbaji visima unaolenga kukabiliana na uhaba wa maji safi katika eneo hilo