- 664 viewsMkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Royal Media Services, Wachira Waruru, aliwaongoza wafanyakazi wa RMS katika mazishi ya Mama Joyce Waweru, mamake Mkurugenzi wa Kiufundi wa Royal Media Services Moses Karanja, yaliyofanyika eneo la Marura, Nanyuki, Kaunti ya Laikipia. Waruru alimtaja Mama Joyce kama nguzo muhimu aliyetoa mchango mkubwa kwa familia na jamii kwa ujumla