Skip to main content
Skip to main content

Wadau katika sekta ya uchumi wa baharini wameelezea wasiwasi wao kuhusu athari za vita mashariki

  • | Citizen TV
    441 views
    Duration: 2:00
    Wadau katika sekta ya uchumi wa baharini wameelezea wasiwasi wao kuhusu athari za mashambulizi huko mashariki ya kati wakisema baadhi ya wanachama wao wanaoishi katika milki za kiarabu wameathirika kutokana na mashambulizi kati ya Marekani na Iran.