- 244 views
Washika dau katika sekta ya wafanyabiashara na viwanda nchini wanataka muungano kama huo ubuniwe afrika mashariki ili kukabiliana na changamoto za wafanya biashara barani. Haya yanajiri huku baadhi ya wafanyabiashara katika mipaka ya Kenya wakilalamikia kile wanasema ni kuhangaishwa wanapojaribu kufanya biashara na mataifa jirani. Mwenyekiti wa kamati ya uwekezaji katika bunge la afrika mashariki Suleiman Shahbal ametaka viongozi wa chama cha kitaifa kuhusu wafanyabiashara na uwekezaji katika viwanda kuwa mstari wa mbele kuhakikisha vikwazo hivyo vimekwamuliwa.
Wadau wa biashara wataka shirika la Afrika Mashariki kushirikishwa katika mipangilio ya kibiashara
- 14 May 2024 - He was accused of stabbing his younger brother, Joseph Ojuma, in the belly and killing him on the spot because they could not agree on who would take the liver of the animal slaughtered for the burial.
- 14 May 2024 - Kenya must develop a tea brand that will fetch the best prices for farmers, President William Ruto has said.
- 14 May 2024 - At least 40 suspects linked to cases of insecurity in Narok town were on Tuesday apprehended by police in an ongoing crackdown on criminal gangs.
- 14 May 2024 - EACC has recovered assets worth Ksh.3.8 billion in concerted efforts to pin down corrupt individuals.
- 14 May 2024 - President William Ruto on Tuesday evening made two new appointments to the Executive following the approval of the Public Service Commission (PSC).
- 14 May 2024 - Mudavadi regretted that issues on non-tariff barriers have been hampering cross-border trade between the two countries and called for not only extensive discussions but also a conclusive position to enable augmentation of bilateral trade.
- 14 May 2024 - Three suspects charged with defrauding a British national Ksh.60 million in a fake tender project to supply laptops and other accessories to the Ministry of ICT have been released on a Ksh.3 million bond each.
- 14 May 2024 - Says elders have long been advocating for official recognition and fair compensation
- 14 May 2024 - Queen Camilla is said to have looked at the painting and told the artist: "Yes, you've got him."
- 14 May 2024 - The Auditor General flagged several unexplained expenditures