- 503 views
Washikadau katika sekta ya elimu kaunti ya Kisii wametoa wito kwa serikali kupiga jeki sekta ya elimu ili kuboresha masomo katika taasisi zote nchini. wadau hao wameitaka kamati bunge kuhusu elimu inayochunguza visa vya udanganyifu kufanya kazi yao ipasavyo ili kuboresha hali kote nchini. viongozi wa chama cha walimu Kuppet wameitaka serikali kufanya hima kutuma fedha za masomo katika shule za sekondari msingi
Wadau wa elimu wataka fedha za sekondari msingi kusambazwa
- 29 Mar 2024 - The debt restructuring negotiations have been held back by differences between China and Western creditors.
- 29 Mar 2024 - President William Ruto has shared a message of hope, ushering in the Easter holidays.
- 29 Mar 2024 - Senior Principal Magistrate Joe Mkutu has freed 48 persons who had been arrested and charged for selling and smoking shisha in January 2024.
- 29 Mar 2024 - On Thursday evening, the IEC upheld an objection against Mr Zuma's candidature in the upcoming elections due on May 29.
- 29 Mar 2024 - Prime Cabinet Secretary and Foreign Affairs CS Musalia Mudavadi has highlighted the role of tech diplomacy in enhancing diplomatic outreach, networking, and global visibility while fostering cultural exchanges.
- 29 Mar 2024 - Schools are set to close for the first term break on April 5.
- 29 Mar 2024 - If he had assumed parental responsibilities, you may have legal grounds to pursue a claim against him for maintenance.
- 29 Mar 2024 - Shanzu Senior Principal Magistrate finds there is no valid ban on shisha under the Public Health Rules, 2017.
- 29 Mar 2024 - A bus crash in South Africa's northern province of Limpopo resulted in 45 deaths and one serious injury, South Africa's Department of Transport said on Thursday.
- 29 Mar 2024 - Several car owners have recorded statements with the police to help with investigations.