Skip to main content
Skip to main content

Wafanyabiashara na mashirika ya haki walalamika kuhusu utekaji nyara Eastleigh

  • | Citizen TV
    301 views
    Duration: 2:55
    Wafanyabiashara mtaani Eastleigh pamoja na watetezi wa haki sasa wanataka serikali kushughulikia visa vya utekejai nyara vilivyokithiri. Hii ni kufuatia ripoti kuwa katika muda wa siku kumi zilizopita, wafanyabiashara wanne wametekwa nyara mtaani humo huku watatu miongoni mwao wakiachiliwa katika