- 267 views
Miezi michache baada ya serikali ya kitaifa kuondoa marufuku ya ununuzi na uuzaji wa vyuma vikuukuu nchini, sasa muungano wa wafanyabiashara katika sekta hiyo kaunti ya Kakamega umejitokeza na kujitenga na madai kuwa wanashirikiana na wezi wa nyaya na vifaa vingine vya umeme katika eneo hilo. Wakizungumza mjini Kakamega kwenye mkutano wa uhamasisho ulioshirikisha vitengo vya usalama, viongozi wa serikali kuu na wafanyabiashara wa vyuma vikuukuu, wameitaka serikali kutilia mkazo suala la kutoa leseni kwa wafanyabiashara halali. Aidha, wafanyabiashara hao wamewataka wananchi kuwa macho dhidi ya matapeli ambao wamejiingiza katika biashara hiyo kwa nia ya kuwaharibia jina
Wafanyabiashara wa vyuma vikuukuu katika kaunti ya Kakamega walaumiwa kwa wizi wa nyaya za umeme
- 12 Aug 2025 - Nigerian prosecutors on Monday arraigned five men accused of carrying out a deadly Islamist militant attack on a Catholic church in Owo, in the southwestern Ondo state, that killed at least 50 worshippers in 2022 and wounded over 100 others.
- - Trump says administration is considering reclassifying marijuana
- 12 Aug 2025 - The lakeside town is already abuzz with activity as visitors arrive from across the country, creating a windfall for local businesses and spilling demand into neighbouring counties.
- 12 Aug 2025 - The Police Service Commission, tasked with reforming the process, found itself under intense scrutiny from both civilians and serving officers, with many expressing concerns that the proposed system could disadvantage candidates from marginalized…
- 12 Aug 2025 - Nyagana has transformed the underground space into a fully functional dwelling, subdividing it into a sitting room, bedrooms, a kitchen, and even an upper sleeping area. He explains how the arrangement works, noting that he sometimes shifts rooms…
- 12 Aug 2025 - Visually impaired students lead KU to pop glory at music festival
- 12 Aug 2025 - Farmers win round one as court halts duty-free rice importation
- 12 Aug 2025 - Equity to cool off State securities as half-year profit hits Sh34.6b
- 12 Aug 2025 - Fertiliser subsidy: A double-edged sword driving firms out of business
- 12 Aug 2025 - Nairobi Hospital suspends price hikes after insurers' outcry