- 124 views
Shughuli za kawaida zimetatizika kwa muda katika ofisi za kampuni ya usambazaji maji ya Malindi baada ya wafanyikazi wa kampuni hiyo kuandamana kwa madai ya kunyanyaswa na usimamizi wa kampuni hiyo. Polisi walilazimika kutumia vitoa machozi kuwafurusha waandamanaji hao huku wengine kujeruhiwa katika rabsha hiyo. Wafanyikazi hao wanadai kuwa wamekuwa wakikatwa pesa katika mishahara yao kwa ajili ya hazina mbali mbali huku hela hizo zikikosa kupelekwa zinakohitajika. Waziri wa maji katika serikali ya Kilifi Omar Said amewahakikishia wafanyikazi hao kuwa serikali ya Kilifi itazingatia kilio chao kwa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu madai yao ili kutoa suluhu.
Wafanyakazi wa kampuni ya maji ya Malindi waandamana kulalamikia usimamizi mbaya kwenye kampuni hiyo
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
- 11 Aug 2025 - The woman’s body had stab wounds when it was discovered.
- 11 Aug 2025 - The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.
- 11 Aug 2025 - The new draft rolls have 72.4 million names - 6.5 million fewer than before.
- 11 Aug 2025 - JKIA has been grappling with infrastructural challenges.
- 11 Aug 2025 - There are a total of 37 projects the government is focused on.