- 31 views
Wafanyibiashara za mitandaoni wanataka sheria kuhusu ushuru wa mauzo na biashara za kidijitali kufanyiwa marekebisho mwezi mmoja tangu ianze kutekelezwa. Wadau hao wanadai kuwa ushuru wa asilimia 3 wa thamani ya bidhaa zinazouzwa kidijitali ni adhabu na tishio kwa sekta hiyo tegemezi. Kwingineko, kufikia sasa shirika la kitaifa la utafiti wa jeolojia limetambua maeneo 970 yalio na madini katika kaunti zote-47 humu nchini. Waziri wa madini Salim Mvurya amesema serikali inapania kuongeza kiwango cha mapato yanayotokana na madini kutoka asilimia moja hadi asilimia 10 ya pato jumla la taifa katika muda wa miaka mitatu ijayo. Hapa ni tasnifu ya mkusanyiko wa habari za biashara
Connect with KBC Online; Subscribe to our channe: l: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wafanyibiashara za mitandaoni kutaka sheria kuhusu ushuru wa kidijitali kufanyiwa marekebisho
- 13 Jul 2025 - A man was left with serious injuries on Sunday after being beaten by residents who suspected him of being a livestock thief in the Drys area of Ainapkoi, Uasin Gishu County.
- 13 Jul 2025 - Thousands of people streamed to a small Italian hilltop village not far from Rome on Sunday, to hear Pope Leo deliver his first Angelus prayer from his summer residence at Castel Gandolfo.
- 13 Jul 2025 - Residents of Giacai village in central Kirinyaga County are demanding immediate investigations into an incident where police officers allegedly stormed a local bar and roughed up customers for unknown reasons, injuring some.
- 13 Jul 2025 - Indonesian authorities have foiled a smuggling attempt of more than 1,200 endangered Javan white-eye birds after discovering them stuffed into cages, they said Sunday.
- 13 Jul 2025 - The succession of Tibetan spiritual leader, the Dalai Lama, is a thorn in China-India relations, the Chinese embassy in New Delhi said on Sunday, as India's foreign minister prepares to visit China for the first time since deadly border clashes in 2020.
- 13 Jul 2025 - Gachagua suggested Raila is inconsequential in Kenyan politics.
- 13 Jul 2025 - The residents of Lala village, in Homa Bay county, are calling on the Kenya Wildlife Service to take urgent action to tame the wild animals after a leopard killed eight sheep belonging to a resident of the area.
- 13 Jul 2025 - Police on the trail of a man linked to series of killings in Siaya County.
- 13 Jul 2025 - She recently described the President as "mad" for instructing police officers to immobilise violent protesters by shooting the the leg.
- 13 Jul 2025 - Unions had threatened to boycott work.