Skip to main content
Skip to main content

Wafanyikazi na wasimamizi waandamana msitu wa Karura

  • | Citizen TV
    1,276 views
    Duration: 2:41
    Vuta nikuvute ilishuhudiwa mchana kutwa katika msitu wa karura jijini nairobi, baada ya wafanyikazi na usimamizi wa msitu huo kuandamana kupinga agizo la idara ya huduma za misitu la kusitisha malipo kwa usimamizi huo. Mkurugenzi wa kfs ameamuru malipo yanayotolewa na wageni yawasilishwe kwenye akaunti ya serikali ya E- citizen kama ilivyoagizwa na Rais William Ruto