- 2,025 views
Vita vya ubabe wa kisiasa vilisheheni eneobunge la Kigumo kaunti ya Murang’a, baada ya mwakilishi wa kike wa kaunti hiyo Betty Maina kuzomewa na umati. Maina alimshutumu mbunge wa eneo hilo Mary Waithira kwa kufadhili rabsha zilizoshuhudiwa huku akisema kuwa hatobanduka katika safari yake ya kisiasa. Hafla hiyo ya kuwasaidia kina mama wanaoshona vikapu iliyohudhuriwa na mawaziri watatu akiwemo waziri wa ardhi Alice Wahome ilisitishwa kwa muda, huku polisi wakirejesha hali ya utulivu
Wafuasi wa Mbunge wa Maragua Mary Wamaua na mwakilisha wa wanawake Betty Maina wakabiliana Murang'a
- - Duniani Leo ››
- 16 May 2024 - The Office of the Director General for Health in a letter to public county health officers and copied to the Kenya Bureau of Standard says the Sherehe GSM maize flour is unfit for human consumption.
- 16 May 2024 - Nineteen people have been detained at Siaya Police Station following their arrest at a chang’aa den on charges of being drunk and disorderly.
- 16 May 2024 - A middle-aged man was on Wednesday evening electrocuted to death in the Ulanda area of Awendo, Migori County.
- 16 May 2024 - A 22-year-old man on Thursday morning escaped death by a whisker after his house burnt in a suspected arson incident at Abom village in Bondo, Siaya County.
- 16 May 2024 - Nigeria's headline consumer inflation accelerated to a new 28-year high in April, hitting 33.69% year-on-year, up from 33.20% in March, statistics agency data showed on Wednesday.
- 16 May 2024 - The determination exposes Boeing to a potential criminal prosecution.
- 16 May 2024 - Biden aides think debates could hurt Trump by exposing his positions on key issues.
- 16 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenya’s tea should be branded to increase its visibility in the g****l market so as to help fetch the best […]
- 16 May 2024 - Ambassador Meg said the meeting would be good for engagements between the two countries
- 16 May 2024 - Dozens of countries sign up for Ukraine peace summit, Switzerland says