- 84 viewsJulian Assange, mwanzilishi wa tovuti ya ufichuzi ya WikiLeaks, wiki hii alianza juhudi za mwisho za kisheria, za kupinga kurejeshwa kwake nchini Marekani kutoka Uingereza, akikabiliwa na kesi ya madai ya ujasusi, kuhusiana na uchapishaji wa maelfu ya jumbe za kidiplomasia za Marekani na nyaraka za kijeshi zilizoibwa. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wafuasi wa Mwanzilishi wa WikiLeak waandamana nje ya mahakama Uingereza
- 27 Apr 2024 - Embu County Deputy Speaker Ibrahim Swaleh who is also Kirimari Ward MCA has dismissed claims by the public that members of the Embu County Assembly are misappropriating public funds, leading to a reduction in capitation and bursaries for school children.
- 27 Apr 2024 - Speaking at a roundtable meeting with CRA commissioners at Nairobi’s Movenpick hotel, the governors insisted on a formula that speaks to the region’s prowess for production, insisting the three earlier formulas have greatly been designed to take away…
- 27 Apr 2024 - Bumula Member of Parliament Jack Wamboka claims his life is in danger after he filed a notice of motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi over the fertilizer scandal in the country.
- 27 Apr 2024 - A report by CBK showed the local currency trading at Ksh133.16 against the greenback.
- 27 Apr 2024 - Heavy rainfall in Kirinyaga Central and its vicinity has resulted in severe flooding, leaving several villages isolated from Kutus town and nearby areas.
- 27 Apr 2024 - Any attempt to prosecute high voltage files has invariably oiled the revolving door at Integrity Centre.
- 27 Apr 2024 - Two Kenya Defence Forces officers who died in the ill fated chopper crash that also claimed the life of CDF Francis Ogolla will be laid to rest today.
- 27 Apr 2024 - Wetangula asked families living in flood-prone areas to voluntarily move out to avoid loss of lives to the raging waters.
- 27 Apr 2024 - Majority of those affected are residents of Garissa, Bangal Subcounty in Tana River
- 27 Apr 2024 - Three p****e have lost their lives after the c*r they were travelling in was swept away by floods in Machakos county. While confirming the incident, Machakos County police commander Patrick Lobolia noted that one person was still missing and a search…