Skip to main content
Skip to main content

Wafugaji walioathiriwa na ukame wapewa fidia ya ngamia Samburu

  • | Citizen TV
    847 views
    Duration: 2:52
    Ni afueni kwa wafugaji walioathirika na ukame pamoja na wizi wa mifugo kaunti ya samburu,baada ya serikali ya kaunti hiyo kuwapa fidia. Wafugaji hao wamepewa ngamia ili waendeleze ufagaji