- 159 viewsRussia imebadilisha jina la kikundi chake cha mamluki, cha Wagner Group, na kukiita kikosi cha kusafiri cha “Expeditionary Corps,” ambacho sasa kiko chini ya udhibiti wa kitengo cha kijasusi, cha kijeshi cha Moscow, na kinasaidia kufufua serikali za kiimla barani Afrika, kulingana na ripoti ya Taasisi ya British Royal United Services. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wagner yabadilisha jina na kujiita “Expeditionary Corps”
- - InnovateHER Brunch ››
- 27 Apr 2024 - Migori Senator Eddy Oketch has defended his perceived absence from the county saying the work of a legislator is domicile in Parliament.
- 27 Apr 2024 - Sebastian Ojiambo has lived on fishing for many years. Every time he prepared his fishing nets and pushed his boat into the water, Ojiambo was sure of getting enough fish, not only for his family to eat at home but also to sell some for money he used to…
- 27 Apr 2024 - Three more bodies have been retrieved from Kwa Muswii River in Makueni County where a lorry lost control while carrying locals and ballast on Friday.
- 27 Apr 2024 - Kiambaa Sub County Security Committee have arrested more than 30 youths who were found drinking alcohol in one of the notorious Paradiso Bars in Kihara town following a tip-off from the public.
- 27 Apr 2024 - Nairobi County has in the recent past been experiencing major problems
- 27 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Kenya’s Emmanuel Wanyonyi established a new world road mile record in a flash after running in 3:54.5 at the Adizero […]
- 27 Apr 2024 - Police boss says it's expected both human, vehicular traffic will be heavy next week
- 27 Apr 2024 - The record was previously held by USA.
- » ‘It’s a crazy idea!’ Governor Orengo slams CS Kuria's over proposal on public servants’ terms of employment27 Apr 2024 - Siaya Governor James Orengo is the latest leader to dismiss the proposal by the Ministry of Public Service to transfer all public service employees from permanent and pensionable terms to contracts as a shame and a very crazy idea that they will…
- 27 Apr 2024 - Ugunja MP says they will continue holding the government accountable over the project