- 103 viewsWakati Dunia ikiadhimisha siku ya Figo, wagonjwa wanaougua figo wametoa wito kwa serikali nchini Tanzania kutazama namna ya kujumuisha huduma za matibabu ya figo kwenye bima za afya, huku Wataalamu wa afya nao wakikisisitiza Jamii kuchukua hatua za makusudi kujikinga na magonjwa hayo yanayoongezeka duniani kote hivi sasa. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wagonjwa wa figo waitaka serikali ya Tanzania kujumuisha matibabu kwenye bima ya afya
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - Duniani Leo ››
- 12 Aug 2025 - The Senate’s attempt to extend its oversight beyond its constitutional mandate raises concerns.
- 12 Aug 2025 - KICD says learners who want to pursue Core Mathematics must have met or exceeded expectations throughout their primary and junior school assessments.
- 12 Aug 2025 - Ruto puts banks to task over constant high lending rates
- 12 Aug 2025 - Unbowed Lagat returns despite murder probe
- 12 Aug 2025 - Inside school walls: The hidden reality of forced pregnancy tests, searches
- 12 Aug 2025 - How Jose Mourinho influenced McCarthy in defensive artistry
- 12 Aug 2025 - Hustler Fund, e-Citizen: Stop denials and embrace honest conversations
- 12 Aug 2025 - Farmers win round one as court halts duty-free rice importation
- 12 Aug 2025 - Fertiliser subsidy: A double-edged sword driving firms out of business
- 12 Aug 2025 - Nairobi Hospital suspends price hikes after insurers' outcry