Wagonjwa wa figo waitaka serikali ya Tanzania kujumuisha matibabu kwenye bima ya afya

  • | VOA Swahili
    103 views
    Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya Figo, wagonjwa wanaougua figo wametoa wito kwa serikali nchini Tanzania kutazama namna ya kujumuisha huduma za matibabu ya figo kwenye bima za afya, huku Wataalamu wa afya nao wakikisisitiza Jamii kuchukua hatua za makusudi kujikinga na magonjwa hayo yanayoongezeka duniani kote hivi sasa. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.