Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri wa chuo cha Kibabii wajiunga na mgomo

  • | Citizen TV
    122 views
    Mgomo wa wahadhiri kote nchini umeingia siku ya pili hii leo ambapo wahadhiri wa chuo kikuu cha kibabii kaunti ya Bungoma wanashinikiza kutekelezwa kwa mkataba wao na serikali.