Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri wasema hakuna masomo yanayoendelea vyuoni huku mgomo ukiingia siku ya 43

  • | Citizen TV
    1,688 views
    Duration: 2:42
    Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini wanashikilia kuwa hakuna masomo yanayoendelea kwenye vyuo licha ya serikali kusema kuwa yanaendelea katika taasisi nyingi nchini. Muungano wa wahadhiri uasu ukishikilia kuwa hakuna wahadhiri wake waliorudi shuleni huku mgomo wao ukiingia siku ya 43. Haya yanajiri huku wanafunzi wa chuo cha tum huko Mombasa wakiandamana kulalamikia kukwama kwa masomo