- 136 viewsWananchi wa Haiti katika mji mkuu wa Port-au-Prince wako mbiyoni kwa wiki nzima hivi sasa bila ya kujuwa wapi kwenda kutokana na mapigano kati ya magenge ya uhalifu na polisi. Ghasia hiso zilizuka wiki moja iliyopita na kuilazimisha serikali kutangaza hali ya dharura, na Marekani kuwaondowa raia wake kuanzia siku ya Jumapili. Hali katika nchi hiyo ya Caribean inaripotiwa kuwa mbaya sana na kuisababisha Jumuia ya kimataifa kueleza wasi wasi wake na kutoa wito wa kusitisha ghasia na kudumisha amani. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wahaiti waukimbia mji kutokana na mapigano kati ya polisi na magenge ya wahalifu
- - ntv wildtalk ››
- 29 Apr 2024 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has stated that the Nairobi County government is overwhelmed by the ongoing rains which have claimed many lives and left many displaced.
- 29 Apr 2024 - The government has directed County Security and Intelligence Committees (CSICs) across the country to inspect all public and private dams and water reservoirs by 2 p.m. Tuesday.
- 29 Apr 2024 - Roads and Transport Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has pleaded with Kenyans to heed all safety directives issued by the national and county governments on the ongoing floods to avert further loss of lives.
- 29 Apr 2024 - Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town, Mandera County on Monday.
- 29 Apr 2024 - Several people are feared dead after an improvised explosive device (IED) detonated at the centre of Elwak town Marsabit County on Monday.
- 29 Apr 2024 - African leaders on Monday called for rich countries to commit record contributions to a low-interest World Bank facility for developing nations that they rely on to help fund their development and combat climate change.
- 29 Apr 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja now says that his administration will give priority to residents of Nairobi City Council (Kanjo) estates when the affordable houses are ready.
- 29 Apr 2024 - The fistfight erupted after some of the officers failed to settle a bill after an evening of drinking.
- 29 Apr 2024 - Bomas of Kenya CEO Peter Gitaa Koria has been freed on a Ksh1 million cash bail after denying eight corruption charges relating to the misappropriation of public funds amounting to Ksh8.5 Million. Milimani Chief Anti-Corruption Magistrate Thomas Nzyoki…
- 29 Apr 2024 - A donkey cart carrying a suspected improvised bomb blew up outside an eatery in Elwak town in Mandera county killing five people and critically wounding five others. Authorities confirmed that the explosion happened Monday at 7.12 am. The targeted…