- 571 viewsMamia ya wahamiaji wamekusanyika kati ya vizuizi viwili vya mpaka wa Marekani na Mexico karibu na San Diego, California, wakisubiri kushughulikiwa na idara ya Forodha na Ulinzi wa Mpakani ya Marekani. Wafanyakazi wa misaada wamesema wahamiaji hao walitokea maeneo mbali mbali hadi huko Afrika Magharibi, Amerika ya Kati na Asia. Hassan Hamza kutoka Ghana ambaye amekuwa akisafiri kwa wiki sita, anasema: “Si rahisi. Tulianzia kutoka Brazil kwa njia ya barabara. Si rahisi. Watu wa Mexico, wametupa wakati mgumu sana. Si rahisi, bwana. Si rahisi. Afrika ni gumu kwetu sisi, ndiyo maana tunakimbia kutafuta faraja, unajua hilo. Kwa hiyo mimi na ndugu zangu wa kiume hawa, tunatokea Afrika na tumefika hapa kwa rehema ya mwenyenzi mungu. Marekani ni nchi yenye fursa nyingi. Tuko hapa ili tuweze kuwa na maisha mazuri. Tunakimbia ukandamizaji unaotukabili. – Reuters #migrants #border #usborder #sandiego #ghana #africa #voa
Wahamiaji kutoka ‘Afrika na Kote Ulimwenguni’ Wanakusanyika Kati ya Vizuizi vya Mpakani Marekani
- 9 May 2025 - High Court judge Lawrence Mugambi has dismissed a case filed by Eldoret-based singer William Getumbe, known for his controversial song 'Yesu Ninyandue'.
- 9 May 2025 - President William Ruto has called for reimagining of global heritage standards so as to reflect African realities better at the close of International Conference on Cultural Heritage and Authenticity in Africa.
- 9 May 2025 - The Ministry of Education has dismissed appointments made by the University of Nairobi Council, terming the process as unlawful.
- 9 May 2025 - The JKIA Law Courts has dismissed an application filed by five suspects seeking to challenge the court’s jurisdiction in a case connected to the murder of Kasipul Member of Parliament Charles Were.
- » Blow to 4 suspects in murder of Kasipul MP Charles Were as court dismisses jurisdiction application9 May 2025 - The JKIA Law Courts has dismissed an application filed by four suspects seeking to challenge the court’s jurisdiction in a case connected to the murder of Kasipul Member of Parliament Charles Were.
- 9 May 2025 - Confusion abounded after conflicting reports regarding the operational status of the Music Copyright Society of Kenya (MCSK) CEO Ezekiel Mutua were released to the public.
- 9 May 2025 - The multi-billion-shilling road project is set to be constructed in three phases.
- 9 May 2025 - "I have never ever been to State House, not even for a national event.”
- 9 May 2025 - Ruto confirmed the significant expansion of the country's molecular diagnostic capacity.
- 9 May 2025 - The government gave updates ahead of the much-anticipated CHAN tournament.