Wahudumu wa afya Embu walaani uvamizi hospitalini

  • | Citizen TV
    82 views

    Wahudumu wa afya katika Kaunti ya Embu wamelaani mashambulizi dhidi ya madaktari na wauguzi wakati wa maandamano ya Saba Saba, wakiitaka serikali kuchukua hatua za dharura kuwalinda wahudumu wa afya