Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya katika kaunti ya Nairobi wameanza mgomo wao rasmi leo

  • | Citizen TV
    78 views
    Wahudumu wa afya katika kaunti ya nairobi wameanza mgomo wao rasmi leo wakilalamikia mishahara ya mwezi wa agosti ambayo haijalipwa pamoja na kutowasilishwa kwa makato ya miezi mitatu iliyopita.