Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya kaunti ya Laikipia watangaza mgomo

  • | Citizen TV
    151 views
    Duration: 1:43
    Huenda huduma katika hospitali zote za umma kaunti ya Laikipia zikaathirika baada ya vyama vitano vya wafanyakazi wa afya kutangaza mgomo kuanzia saa sita usiku wa Jumatatu ijayo.