Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya nyanjani wapewa baiskeli 500 Kwale

  • | Citizen TV
    301 views
    Duration: 2:03
    Wizara ya afya, shirika la Amref na serikali ya kaunti ya Kwale pamoja na World Bicycle Relief wametoa jumla ya baisikeli 500 kwa maafisa wa afya nyanjani ili kuwarahisishia kazi za utoaji wa huduma vijijini.