- 287 views
Wahudumu kwenye sekta ya uchukuzi mjini Ilbissil kaunti ya Kajiado wanalalamikia kuongezeka kwa ajali zinazosababishwa na malori ya masafa marefu huku hatua dhidi ya wahusika ikikosa kuchukuliwa. Wahudumu hao walizuia lori lililosabisha ajali katika barabara ya Namanga wakilalamikia kisa cha hivi punde zaidi ambapo mmoja wao aligongwa na lori lilikokuwa likiendeshwa kwa kasina kufariki. Wanadai mmiliki wa lori hilo alikuwa anapanga kuondoa lori lake katika kituo cha polisi, wakihofia kuwa uhenda haki ikakosa kutendeka. Wanaitaka idara za usalama hasa katika barabara kuu ya Namanga kuwajibika wakidai kuwa tangu mwaka wa 2021 zaidi ya watu 20 wakiwemo madereva wanaoendesha matatu wamefariki huku haki ikikosa kupatikana.
Wahudumu wa matatu walalamikia ongezeko la ajali Ilbissil katika kaunti ya Kajiado
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
- 11 Aug 2025 - The woman’s body had stab wounds when it was discovered.
- 11 Aug 2025 - The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.
- 11 Aug 2025 - The new draft rolls have 72.4 million names - 6.5 million fewer than before.
- 11 Aug 2025 - JKIA has been grappling with infrastructural challenges.
- 11 Aug 2025 - There are a total of 37 projects the government is focused on.