- 1,718 viewsDuration: 4:38Waumini wa dini ya kiislamu kote nchini wameungana na wenzao ulimwenguni kusheherekea sikukuu ya Eid-ul Fitr kuashiria kukamilika kwa mwezi mtukufu wa ramadhan. Viongozi wa kidini na kisiasa wametaka wakenya kuadhimisha sikukuu ya eid ul fitr wakiwa na ujumbe wa amani, kushirikiana na kuenzi mafunzo ya imani