Hawasali, hawafungi, wanafuga nyewele zao kwa mashungi au rasta na kuvalia nguo zenye rangi nyingi na viraka…Hapa nawazungumzia Baye Fall, kikundi cha Waislamu nchini Senegal kinachoibua maswali kutoka kwa makundi ya kihafidhina ya kiislamu ndani na nje ya nchi hiyo kwa namna imani yao ilivyo tofauti na Uislamu uliozoeleka. Nguzo kuu za imani yao ni kujitolea kufanya kazi kwa bidii na kwa nguvu zote na dhana ya 'Ndiguel', ambayo ni kujitolea kumtumikia sheikh au Khalifa wao. Taarifa hiii ya mshindi wa tuzo ya BBC ya Komla Dumor Rukia Bulle inawasilishwa na Agnes Penda.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 May 2025
- The High Court in Nairobi has issued directions in a high-stakes constitutional case challenging President William Ruto’s recent nominations to the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC), as tensions surrounding electoral integrity…
16 May 2025
- Days after revelations of a Ksh.62 billion shortfall in the education budget, Education Cabinet Secretary Migos Ogamba has assured that the ministry is actively engaging stakeholders to make urgent adjustments aimed at cushioning millions of learners…
16 May 2025
- President William Ruto has intensified his criticism of former Deputy President Rigathi Gachagua, accusing him of promoting politics of insults and tribalism.
16 May 2025
- The International Criminal Court’s chief prosecutor has stepped aside pending the conclusion of a probe into a misconduct allegation against him, his office said Friday, as media reports cite accusations of sexual misconduct. News of Karim Khan’s leave…
16 May 2025
- The National Police Service (NPS) has released a detailed report of cases it has successfully investigated since the beginning of the year. In a statement, the service noted that through the Directorate of Criminal Investigations (DCI), it had…
16 May 2025
- The government has ordered the immediate evacuation of communities living downstream of the Kiambere Dam over fears of imminent flooding following days of heavy rainfall in the Mt. Kenya and Aberdare catchment areas.
16 May 2025
- The Nairobi City County is fully enforcing the provisions of the newly-implemented National Rating Act No. 15 of 2024, amid a city-wide clampdown on properties defaulting on land rate payments