Waislamu wasiosali wala kufunga Senegal
Hawasali, hawafungi, wanafuga nyewele zao kwa mashungi au rasta na kuvalia nguo zenye rangi nyingi na viraka…Hapa nawazungumzia Baye Fall, kikundi cha Waislamu nchini Senegal kinachoibua maswali kutoka kwa makundi ya kihafidhina ya kiislamu ndani na nje ya nchi hiyo kwa namna imani yao ilivyo tofauti na Uislamu uliozoeleka. Nguzo kuu za imani yao ni kujitolea kufanya kazi kwa bidii na kwa nguvu zote na dhana ya 'Ndiguel', ambayo ni kujitolea kumtumikia sheikh au Khalifa wao. Taarifa hiii ya mshindi wa tuzo ya BBC ya Komla Dumor Rukia Bulle inawasilishwa na Agnes Penda.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
19 Jul 2025
- The announcement comes months after the government acquired billions to fund the construction.
19 Jul 2025
- The warning also extended to civil servants juggling side hustles with government jobs.
19 Jul 2025
- Kuria was responding after Gachagua's warning to Mt kenya residents
19 Jul 2025
- Kirinyaga Woman Representative Njeri Maina has confirmed that she is actively leading a fundraising drive and offering pro-bono legal assistance to Gen-Z protesters arrested during the June 25 and July 7 (Saba Saba) anti-government demonstrations, many…
19 Jul 2025
- Mindfulness is linked to meditation.
19 Jul 2025
- The announcement comes months after the government acquired billions to fund the construction.
19 Jul 2025
- Politicians inciting Kenyans to violence and planting seeds of hatred and discord ahead of the 2027 general elections must be called out, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
19 Jul 2025
- Activist Boniface Mwangi arrested from his home in Lukenya, Machakos, his wife, Njeri says he is being taken to DCI headquarters on Kiambu Road; reason for arrest unclear.
19 Jul 2025
- The warning also extended to civil servants juggling side hustles with government jobs.
19 Jul 2025
- During the swoop, police seized 205 litres of mukasa.
19 Jul 2025
- Ithookwe Stadium is the designated venue for the October 20 celebrations.
19 Jul 2025
- Rashford does not believe he will play for United again while Amorim is at the club.
19 Jul 2025
- Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has called on Kenyans to uphold the rule of law and utilize established institutions to address their grievances, rather than resorting to divisive rhetoric or disruptive actions.