- 313 viewsVijana wajasiriamali waleta mapinduzi makubwa katika soko la bajaji mjini Mombasa, Kenya ambapo wanauza bajaji mpya zinazotumia umeme zinazogharimu takriban dola 4,000. Mjasiriamali anaeleza kuwa TukTuk hizi mbali na kupunguza gharama ya mafuta kwa vijana wanaozinunua pia zitaleta mabadiliko makubwa katika kulinda mazingira na ni Rafiki kwa mazingira. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wajasiriamali Mombasa wauza pikipiki mpya rafiki kwa mazingira
- - What's trending ››
- - LIVE || DAILY REPORT ››
- 24 Apr 2024 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have raided the home of former Treasury Cabinet Secretary Ukur Yatani in a suspected graft probe.
- 24 Apr 2024 - The Kenya Medical Practitioners and Dentists Union (KMPDU) Secretary-General Davji Atellah on Wednesday rebuked Robert Pukose, the chairperson of the National Assembly Health Committee, over comments about medical interns’ membership in the doctors’…
- 24 Apr 2024 - Families of the victims of two fatal Boeing 737 MAX crashes in 2018 and 2019 will press U.S. Justice Department officials Wednesday to criminally prosecute the planemaker after a January in-flight blowout exposed continuing safety and quality issues.
- 24 Apr 2024 - Prof Stephen Kiama, an academician who holds an earned doctorate degree in Structural Biology from University of Bern in Switzerland is an accomplished scholar with proven track record in formulating and managing academic programs as he has been…
- 24 Apr 2024 - An outbreak of unknown camel disease has been reported in Qorqa Location of North-Horr constituency in Marsabit County with herders counting losses.
- 24 Apr 2024 - Fortune Mgwili-Sibanda was born in a bush by the side of the road in a small village in Matebeleland, Zimbabwe. The story goes that his mother’s water broke on the way to hospital, and so she gave birth to him right there and then.
- 24 Apr 2024 - The torrential rains that continue to ravage neighbourhoods and streets across the nation have affected one of the crucial intersections in the Nairobi CBD.
- 24 Apr 2024 - A Kenya Defence Force (KDF) officer has been arrested in Homa Bay County for allegedly participating in the brutal murder of a 30-year-old man at Sino village in Rachuonyo South Sub County.
- 24 Apr 2024 - The EACC also conducted a raid at his home and that of Marsabit Governor Mohamud Ali.
- 24 Apr 2024 - It had widespread support from lawmakers, with 79 Senators voting for it and 18 against.