- 148 views
Wakaazi wa Kasemeni eneo bunge la Kinango kaunti ya Kwale wametaka serikali kuu kusitisha mradi wa ujenzi wa bwawa la Mwache hadi pale wale walioathirika na mradi huo watakapolipwa fidia. Wakaazi hao wanadai zaidi ya familia 900 bado hazijalipiwa fidia ya huku zaidi ya shillingi bilioni 1.9 zikiwa hazijalipwa wenyeji walioathirika. Ujenzi wa bwawa hilo unaogharimu shilingi bilioni 18 ukiendelea wakaazi kutoka vijiji 19 wanasema unafaa usimamishwe hadi pale makubaliano yote baina yao na serikali yatatimizwa.
Wakaazi wa Kasemeni, Kinango walalamikia bwawa kaunti ya Kwale
- 27 Jun 2025 - Twenty-nine students taking their high school exams in the Central African Republic died in a stampede sparked by an exploding power transformer, the health ministry told AFP Thursday.
- 27 Jun 2025 - As projects in Phase one of the Konza Technopolis near completion, the Silicon Savannah has embraced sustainability by design through its infrastructure systems.
- 27 Jun 2025 - Raila hits out at opposition over Gen Z rebellion
- 27 Jun 2025 - High Court lifts injunction on Kiambu's mini budget
- 27 Jun 2025 - Asige sponsors Bill to make public transport safe, inclusive
- 27 Jun 2025 - Report: How demand for donkey skin hurts livelihoods of women, children
- 27 Jun 2025 - Protesters make daring raids on police stations as officers injured
- 27 Jun 2025 - Relief for Ayacko as MCAs endorse Sh10.8b budget
- 27 Jun 2025 - Mother in anguish after son's alleged abduction by DCI
- 27 Jun 2025 - Why children deserve more attention after death of their loved ones