Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa Kilifi wanaomba wahisani kurekebisha mapaa ya shule ya Mirikryani

  • | Citizen TV
    130 views
    Duration: 1:57
    Wakaazi wa eneo la Mikiryani eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanaomba wahisani kurekebisha mapaa ya shule ya msingi ya Mikiryani kwa hofu ya uharibifu kutokana na upepo mkali unaoambatana na mvua.