Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa Mombasa washiriki Iftar ya kwanza barabarani kuonyesha umoja na kusaidia wasiojiweza

  • | Citizen TV
    18,211 views
    Duration: 2:45
    Mamia ya wakazi wa Mombasa walijumuika kwa Iftar ya kwanza kuandaliwa barabarani. Waandalizi wa hafla hiyo wamesema lengo lake ni kuwaleta watu pamoja na kuonyesha umoja na kuwakumbuka wasiojiweza katika jamii