28 Feb 2026 7:44 pm | Citizen TV 18,211 views Duration: 2:45 Mamia ya wakazi wa Mombasa walijumuika kwa Iftar ya kwanza kuandaliwa barabarani. Waandalizi wa hafla hiyo wamesema lengo lake ni kuwaleta watu pamoja na kuonyesha umoja na kuwakumbuka wasiojiweza katika jamii