- 108 viewsDuration: 2:01Huku rais Ruto akizuru mkoa wa magharibi kwa ziara ya maendeleo, wakazi pamoja na wafanyabiashara mjini mumias kaunti ya kakamega wamejitokeza na kumuomba rais Ruto kuzindua chuo kikuu katika mji huo ili kuinua uchumi ambao wanasema kuwa umezorota sana.