- 4,243 views
Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua . Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Clinicians in Machakos County have officially called off a planned strike just two hours before its scheduled commencement, which was to start at midnight on Saturday.
- 12 Jul 2025 - Iranian authorities carried out on Saturday a public execution of a man convicted of raping and murdering a young girl, the judiciary said.
- 12 Jul 2025 - Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.
- 12 Jul 2025 - At least seven people have been confirmed dead following a tragic road accident involving a lorry transporting tea leaves and a public service matatu at Kijauri Market in Borabu Constituency.
- 12 Jul 2025 - A son of Mexican drug kingpin Joaquin "El Chapo" Guzman pleaded guilty to drug charges in Chicago on Friday in a deal struck with prosecutors in return for a reduced sentence.
- 12 Jul 2025 - There is a need to raise awareness on gender–land–climate nexus to strengthen the role of women parliamentarians and duty bearers in gender-responsive land and climate policy-making.
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - According to the police, the suspect allegedly attacked the deceased after reportedly finding him buying sukuma wiki from his wife.
- 12 Jul 2025 - At the time of the crash, one engine was regaining thrust while the other had relit but had not yet recovered power.
- 12 Jul 2025 - “The Kambas who were behind him, they have left. The Kisis have left. The Luhyas have left. The Maasais have left. The Luo Nation is divided in the middle.”