- 4,243 views
Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua . Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua
- - MICE TOURISM CONCEPT ››
- 22 Oct 2024 - The High Court in Eldoret has settled for December 6, 2024 to determine if the former CEO of Christian Health Association of Kenya (CHAK), Francis Simiyu will be granted his request to be awarded Ksh.5.9 billion by the government for wrongful detention…
- 22 Oct 2024 - Belgut Member of Parliament Nelson Koech has defended the speed at which former Deputy President Rigathi Gachagua's impeachment trial at the Senate was undertaken, citing that it shows how effective the government can be.
- 22 Oct 2024 - The senior counsel highlighted two major issues with Kithire Kindiki's appointment.
- 22 Oct 2024 - National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has dismissed reports he aims at replacing Kithure Kindiki as Interior Cabinet Secretary should the latter assume Deputy President office.
- 22 Oct 2024 - President William Ruto has filed a preliminary objection in a petition against the impeachment of Rigathi Gachagua.
- 22 Oct 2024 - Staff under impeached Deputy President Rigathi Gachagua's office have been denied access into Harambee House, Nairobi days after they were sent on compulsory leave.
- 22 Oct 2024 - SC Muite informed the judges that Gachagua's lawyers are appearing in court 'under protest'.
- 22 Oct 2024 - Kiambu Senator Karungo Thang’wa has termed the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua a flawed process that was politically influenced.
- 22 Oct 2024 - Central to these changes is the switch from TLScontact to VFS Global as the new commercial partner for visa printing.
- 22 Oct 2024 - The Bahamas now the third country to send its officers to the war-torn country after Kenya and Jamaica.