- 4,243 views
Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua . Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua
- 15 Feb 2025 - The trip from Nairobi to Paris – a direct flight – through an Air France flight, a Boeing behemoth, took a handsome nine hours
- 15 Feb 2025 - M23 fighters and Rwandan troops seized the airport serving Bukavu, the capital of South Kivu province in the eastern Democratic Republic of Congo on Friday, security and humanitarian sources said.
- 15 Feb 2025 - As tech billionaire Elon Musk expands his influence over more than a dozen U.S. federal agencies, frustration is growing among some top aides to President Donald Trump, who want more coordination from Musk's team as he slashes the U.S. government,…
- 15 Feb 2025 - Pope Francis was admitted to the hospital on Friday for tests and treatment for bronchitis, the latest in a series of health problems for the 88-year-old pontiff.
- 15 Feb 2025 - Scientists, researchers and policymakers have for many years struggled with how to make the vital connections between gender, social equity, and climate change. As more data and research reveal their clear correlation, the disparate impacts of climate…
- 15 Feb 2025 - Officials said they were calling for a 'Ramadhan ceasefire'.
- 15 Feb 2025 - Hours before the election of the African Union Commission (AUC) Chairperson is held in Addis Ababa, Ethiopia, former Prime Minister Raila Odinga’s bid continues to attract support from leaders across the continent who vouch for his election to succeed…
- 15 Feb 2025 - Let's create dignified spaces for all to express love to those they love
- 15 Feb 2025 - Farmers incur losses as mango buyers avoid restive Kerio Valley
- 15 Feb 2025 - How chance meeting Mambo Mbotela shaped my journey into journalism