- 229 viewsDuration: 4:15Wakazi wa kaunti ya samburu,wamekosoa serikali ya kaunti hiyo kufuatia miundo mbinu duni,ikiwemo ukosefu wa mitaro ya maji taka. Hali hiyo ikiibua hofu miongoni mwa wakazi endapo mafuriko yaliyotikisa jiji kuu la Nairobi yatawafika.