- 11,151 views- Russia inapoendelea kuzidisha mashambulizi yake dhidi ya Ukraine, Rais wa Marekani analiomba Bunge la Marekani Alhamisi kuidhinisha msaada mpya kwa ajili ya Jeshi la Ukraine. - Ukraine imesema kwamba mashambulizi ya Russia mashariki mwa nchi hiyo yameongezeka sana, huku miji kadhaa ikishambuliwa katika jaribio la wanajeshi wa Russia kutaka kuwazingira wanajeshi wa Ukraine. -Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani Ned Price amesema Marekani itatoa msaada wa zaidi ya dola milioni 200 kwa Pembe ya Afrika. Msaada huo utajikita katika kushughulikia mahitaji ya kibinadamu yanayosababishwa na ukame na mzozo wa kikanda. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wakati Russia ikizidisha mashambulizi, Marekani yatoa msaada mpya kwa Ukraine
- - Duniani Leo ››
- 25 Apr 2024 - Lolminingai location Chief Monicca Mitei said the Isack Chepngok was found dead within his homestead after the vicious attack on his 55-year-old wife who later lost her life while undergoing treatment at the Kapsabet County Referral Hospital.
- 25 Apr 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua has said youth leadership is key in the advancement of Africa adding that young people are playing a big role in securing the continent’s future
- 25 Apr 2024 - Col Keitany who died in a military helicopter crash shares many similarities with his boss Gen Ogolla.
- 25 Apr 2024 - The assessment will replace the Kenya Certificate of Primary Education examinations.
- 25 Apr 2024 - Local government stakeholders from the six East African Community (EAC) partner states have urged the regional bloc to enhance its integration agenda by actively involving local governments in planning and implementation processes. The six countries…
- 25 Apr 2024 - The volatility of the Kenyan Shilling has thus caused uncertainty amongst investors.
- 25 Apr 2024 - Incentive structures for success in journalism are the very opposite of the incentives for success in politics.
- 25 Apr 2024 - The last 27 years the exports of Kenya to Ethiopia have increased at an annualized rate of 4 percent.
- 25 Apr 2024 - This, as the US confirms process in place to renew AGOA.
- 25 Apr 2024 - Opening of Japanese car auction firm at Naivasha Economic Zone signals reduced prices