- 986 viewsDuration: 2:53Wakazi wanaoishi karibu na mto Perkerra kaunti ya Baringo, wanaililia serikali ya kaunti hiyo kuwajengea kivukio ili wanafunzi waweze kufika shuleni salama haswa wakati wa mvua. Wazazi wanalazimika kuwabeba wana wao mgongoni kuwavusha kwenye eneo la barabara ambalo sasa limefurika kutokana na maji ya mto huo