- 224 views
Katika kaunti ya Isiolo , wenyeji wa jamii ya Garbatulla wamelalamikia kuwachwa nje katika mradi wa ujenzi wa barabara kuu ya kutoka Isiolo-Modogashe hadi kaunti jirani ya Mandera , wakisema kwamba hawajapata manufaa kwa mradi huo , kama vile nafasi za ajira au hata kampuni inayojenga barabara hiyo, kurejesha mkono kwa miradi kwa jamii ya Garbatulla , ikizingatiwa kwamba , kampuni hiyo ya ujenzi inatumia baadhi ya bidhaa za ujenzi kutoka eneo hilo la Isiolo bila malipo yeyote. Loise Wangui anaarifu.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wakazi Garbatulla, walalamika kutonufaika kutokana mradi wa ujenzi wa barabara wa Isiolo-Modogasha
- - Duniani Leo ››
- 27 Aug 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched a blistering attack on President William Ruto, accusing him of orchestrating corruption and bribery within Parliament.
- 27 Aug 2025 - The Democracy for the Citizens Party (DCP) leader, Rigathi Gachagua has alleged that he facilitated a meeting between President William Ruto and General Mohamed Hamdan Dagalo, widely known as Hemedti, the leader of Sudan’s Rapid Support Forces (RSF),…
- 27 Aug 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has rubbished claims that he is a tribal leader, instead accusing President William Ruto of orchestrating a negative narrative against him after their bitter political fallout.
- 27 Aug 2025 - Online shopping has transformed how we buy goods, offering convenience and a wider variety of products right at
- 27 Aug 2025 - Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has come out guns blazing to slam former Chief Justice David Maraga.
- 27 Aug 2025 - Police have arrested one suspect and seized a lorry ferrying what is believed to be cannabis sativa along
- 27 Aug 2025 - Nyeri's 'Shakahola' bus stop project was unnecessary from the word go
- 27 Aug 2025 - Leaders who buy their way into power can't fight corruption
- 27 Aug 2025 - Returns from State bonds drive HF Group's profit by 150pc
- 27 Aug 2025 - Tracing the treacherous, bloody road to enactment of new laws