- 5,503 viewsDuration: 2:53Wakazi wa kijiji cha Akingli kaunti Kisumu sasa wameamua kusafirisha nyani hadi afisi za KWS baada ya idadi ya wanyama hao kuongezeka. Mazao shambani yameharibiwa huku nyani hao sasa wakianza kuwavamia wanadamu. Hata hivyo, idara ya KWS imetoa onyo kwa wakazi dhidi ya kutangamana na nyani hao ambao wanaweza kusambaza magonjwa hatari kwa binadamu.