- 48 views
Licha ya tangazo la idara ya utabiri wa hali ya anga kwamba hakuna tishio la kimbunga Hidaya kukumba pwani ya Kenya na kuthibitisha kwamba kilikumba pwani ya Tanzania, shughuli za kawaida kwenye fuo nyingi jijini Mombasa bado hazijarejelewa. Uchunguzi uliofanywa na runinga ya KBC channel 1 kwenye ufuo wa umma wa Jomo Kenyatta jijini Mombasa ulionyesha maafisa wa polisi wakishika doria kwenye fuo na kuwazuia umma kuingia humo licha ya marufuku dhidi ya shughuli za fuoni yaliyowekwa na waziri wa usalama wa kitaifa Kithure Kindiki kufikia kikomo usiku wa manane. Wafanyabiashara wanaotekeleza shughuli zao kwenye ufuo huo pia hawawezi kutekeleza shughuli zao. Wanalalamikia kuendelea kukosa mapato hali ambayo wanasema itaathiri vibaya biashara zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakazi Mombasa bado wana wasiwasi wa kimbunga Hidaya
- 19 May 2024 - The Democratic Republic of Congo's (DRC) armed forces repelled an attempted coup d'etat involving Congolese and foreign fighters on Sunday morning, a DRC army spokesman said in a televised address.
- 19 May 2024 - A 12-year-old boy was severely injured after being attacked by a buffalo while herding in Ramada village, Tana River County on Sunday.
- 19 May 2024 - A helicopter in the convoy of Iran's President Ebrahim Raisi was involved in "an accident" on Sunday, state media reported, without specifying if the president was on board.
- » 'We won't allow Gachagua to be mistreated,' Governor Kahiga says amid Kenya Kwanza fallout rumours19 May 2024 - Nyeri Governor Edward Mutahi Kahiga has hinted at a possible rift within the ruling Kenya Kwanza alliance.
- 19 May 2024 - Search and rescue team were headed to the remote mountain area, state media in the Islamic republic reported.
- 19 May 2024 - The Deputy President had weeks ago touted the one-man one-vote one-shilling approach as a better option for sharing revenue.
- 19 May 2024 - The advisory follows the return of the heavy winds which had not been experienced for the past few days.
- 19 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Gor Mahia have retained the Football Kenya Federation Premier League t*tle after beating Muhoroni Youth 3-0 on Sunday, May 19, […]
- 19 May 2024 - Foreign Affairs Principal Secretay Korir Sing'oei has intimated that the plan to deploy its Kenyan police officers to war-torn Haiti is in its final stages.
- 19 May 2024 - President William Ruto leaves the country Sunday evening for the United States of America on a four-day State Visit. This visit is a historic milestone as the first state visit by a Kenyan Head of State in two decades and the first by an African head of…