13 Mar 2026 1:05 pm | Citizen TV 4,546 views Duration: 1:25 Wakaazi wa Ang'ata Barrikoi Transmara kusini, kaunti ya Narok, wameandamana hadi kituo cha polisi cha Oldonyo-orok wakitaka serikali kueleza aliko mwanaharakati Johana Kamilan.