Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Angata Barrikoi waazimia kuishi kwa amani

  • | Citizen TV
    226 views
    Duration: 1:36
    Matumaini ya usalama wa kudumu kati ya jamii ambazo zimezozana kwa takriban miaka hamsini eneo la Transmara Kusini yamefufuliwa baada ya wahusika kuapa kudumisha amani na kutoa nafasi kwa serikali kugawa mashamba eneo hilo la utata.