- 54 viewsHakuna maji ya bomba au mfumo mzuri wa maji taka katika eneo la Athi River, karibu na mji mkuu wa Kenya, Nairobi, na ukame unafanya usambazaji wa maji safi kuwa na uhaba mkubwa na ghali kwa wenyeji. Lakini kwa wale ambao nyumba zao zimepatiwa mfumo wa kusafisha maji na makundi ya kieneo, mto wa karibu – ni mchafu, na uko katika hatari ya ukame na kwa kawaida maji yake si salama kwa kunywa – umekuwa ni rahisi na chanzo cha uhakika cha maji safi. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wakazi wa Athi River, Kenya walalamika kuhusu ukame na ukosefu wa maji salama
- 18 May 2024 - COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
- 18 May 2024 - President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - The shilling has strengthened against the Euro and the Sterling Pound by 18 per cent.
- 18 May 2024 - Motorists urged to comply with traffic rules to reduce the high numbers reported
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - On Friday, 14 MPs from the Democratic Party accused the House Speaker of disrespecting Kenya.